Habari Kuu



Mafanikio ya Miaka Minne ya Uongozi wa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan katika Tasnia ya Mbolea Tanzania

Soma Zaidi

DCEA yamnasa ‘Mama Dangote’wa biashara ya mirungi’ wilayani Same


MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola,vinapaswa kupongezwa kutokana na kazi kubwa wanayoifanya ya kukabiliana na ‘majangili wa afya za watanzania’

Soma zaidi

Tanzania,Uingereza kushirikiana kuendeleza Sekta ya Madini


Tanzania,Uingereza kushirikiana kuendeleza Sekta ya Madini Taasisi za Jiolojia na Utafiti Madini za Tanzania na Uingereza kushirikiana. Soma zaidi

Waziri Mavunde asimamisha shughuli za uchimbaji madini katika Mto Zila


WAZIRI wa Madini,Anthony Mavunde amesimamisha shughuli za uchimbaji madini zilizokuwa zikifanywa na Kampuni ya G & I Tech Mining Company Ltd kwa kipindi cha masika hadi itakapofanyika tathmini ya kitaalam ya mazingira juu ya shughuli za uchimbaji kwenye Mto Zila. Mavunde ametoa agizo hilo Desemba 30, 2024 katika Kijiji cha Ifumbo, wilayani Chunya Mkoa wa Mbeya wakati alipotembelea eneo la leseni ya mwekezaji ambalo lilivamiwa na wananchi na kusababisha mgogoro mkubwa na uharibifu wa mali .

Matukio Yetu


SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limeendelea kuandika historia mpya baada ya Serikali kulipa kandarasi ya kujenga majengo ya Wizara nane katika Mji wa Serikali wa Mtumba jijini Dodoma.

Maktaba yetu ya Dijitali

Ikiwa ungependa kuona maktaba yetu ya kidijitali bofya ili upate maelezo zaidi ili kuona hati zote asante. Somo zaidi

Je unahitaji kujitolea ?

Bofya Hapa

Unaweza kutuchangia

( Donate Here)

Bajeti Anafanya Nini?

inachapisha habari

zilizofanyiwa kazi kupitia vyanzo sahihi ili kuleta suluhisho na kuuhabarisha umma juu ya kazi mbalimbali zinazofanywa na Serikali,mahirika ya kibinafsi,Taasisi pamoja na kero zinazoihusu jamii kwa maendeleo ya taifa.

Miradi Yetu

Soma zaidi

Washirika wetu

Bajeti imefanya kazi na washirika mbalimbali wa maendeleo kutekeleza miradi nchini Tanzania na katika nchi nyingi sana za Afrika. Bajeti amefanya kazi na washirika tofauti ndani na nje ya nchi, na kufanikisha kazi na miradi aliyopewa kwa mafanikio. Soma zaidi

Habari zetu

Habari za Bajeti Zote Bofya Hapa

Wateja Wetu

Wateja wetu wako wa makundi matatu; Mashirika ya Umma, ya Kibinafsi na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali au Mashirika ya Kiraia. Jifunze zaidi. Soma Hapa

Tofuti yetu

Bajeti ina idadi ya matukio ambayo pia yanaweza kupatikana au kutazamwa kupitia blogu zetu Blogu zetu Bofya Hapa

Mafunzo

Bajeti ni Taasisi inayojishughulisha na utoaji wa habari kwa kufuata sheria za nchi yetu ya Tanzania ili kuuharisha umma juu ya masuala mbalimbali ya kijamii,kitaifa na kimataifa kwa maendeleo ya taifa letu.
Soma zaidi..



Shirika la Nyumba la Taifa(NHC)nchini Tanzania limekuwa moja ya Shirika lenye ufanisi katika kutatua changamoto ya makazi kwa kujenga majengo ya ya kisasa ya biashara,nyumba za kuuza na kupangisha katika mikoa mbalimbali nchini lakini NHC pia ni Mkandarasi anayejitosheleza kwa kila kitu hivyo kupewa kazi ya kujenga majengo ya wizara nane na mengine mawili akiwa kama mkandarasi mshauri katika Mji wa Serikali Mtumba (Magufuli City) jijini Dodoma

Kwa sasisho la sasa fuata media zetu
Habari zaidi

MAADILI YETU

Bajeti Communication : lengo la mawasiliano husaidia kurekebisha ujumbe kwa hadhira. Inahakikisha uwazi, umuhimu, na ufanisi katika kuwasilisha ujumbe. Inakuza ushiriki bora na kufikia matokeo yanayotarajiwa.
Soma zaidi