DEO MWANYIKA AFANIKISHA MIL 25 UJENZI OFISI YA MTAA KAMBARAGE SHUKRANI ZAENDA PIA KWA MKURUGENZI
Hayo yameelezwa na mwenyekiti ...wa huo wa Kambarage Frances Msanga akiwa katika eneo inapojengwa ofisi hiyo na Bajeti Communication Ofisi ambayo kwasasa imekwisha ezekwa Paa na wananchi sasa wanajiandaa kuitwa kushiri usafi katika eneo hilo.
Kwa zaidi ya miaka 5 sasa Ofisi hiyo iliishia ujenzi wake katika hatua ya kuezeka kenchi za mbayo na sasa Mwenyekiti Frances Msanga amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassa ,Mkurugenzi na Mbunge wa Njombe Mjini Deo Mwanyika kwa kuhakikisha wananchi wa Mtaa huo mkubwa zaidi wenye wananchi zaidi elf kumi sasa wanarajia kukamilia kwa Ofisi yao nakuamza kutumika.
Ofisi hiyo imejengwa kisasa ikiwa na kumbi ya mikutano na ofisi vyumba vya ofisi vya kisasa. See lessShow More


















