WANANCHI MTAA WA KAMBARAGE MJINI NJOMBE WAPATA ELIMU KUKABILIANA NA EL NINO
Akizungumza septermber 18 2026 wakati wa mkutano wa robo tatu ya mwaka wa mapato na matumizi ya mtaa huo Afisa Mtendaji Nickodemas Fumi amesema serikali chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan tayari imepeleka mkandarasi ujenzi wa barabara ya Kambara hivyo wananchi wanahaki ya kupatiwa elimu ili kutoa ushirikiano kwa mkandarasi.
Pia kuhusiana na mvua kubwa nza El nino zinazotarajiwa kuanza kunyesha wananchi wanahaki ya kuelimishwa kuhusiana na hatari zake ila waweze kujikinga hivyo wamefanikiwa kupeleta maafisa wa Jeshi la zima Moto pamoja na Jeshi la Polisi ili kutoa elimu ya usalama barabara na Elimu ya uokoaji kwa wananchi.Show More



















