MALIPO YA HUDUMA HIZI ZOTE SASA NI MTANDAONI HAYA NI MABADILIKO YA SHERIA ZA KODI
Elimu hiyo imeolewa na Odupoi Papaa Afisa Msimamizi wa Kodi Mwandamizi kutoka Makao Makuu Dodoma akishirikiana na Euginia Mkumbo Afisa Mkuu Msimamizi wa Kodi TRA katika ukumbi wa Mid Town Mjini Makambako ambapo wafanyabiashara mjini humo walijitokeza kwa wingi kushiriki mafunzo hayo.
Awali Mwenyekiti wa jumuiya ya wafanyabiashara Mkoa wa Njombe ndugu Sifaeli Msigala aliwataka wafanyabiashara kuhakikisha wanakua na uelewa wa pamoja na kwenda kuwaelimisha wenzao ili kulinga Taifa na ameishukuru Mamlaka ya Mapato Tanzania kwa kutoa Elimu hiyo.Show More



















