DEO MAZAO AOMBA WADAU KUCHANGIA HARAMBEE ILI KUPATA FEDHA ZA UKARABATI WA SHULE YA JOSEPH MBEYELA
Mazao ametoa wito huo Agost 20, 2026 mara baada ya kikao cha viongozi wa Kata kilichofanyika Shuleni hapo ambacho pia kimeshirikisha viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM).
Zaidi ya shilingi milioni 50 zinahitajika ili kuboresha miundombinu ya majengo ya Shule hiyo iliyoanzishwa mwaka 2007 na wadau mbalimbali wa maendelea wakiongozwa na aliyewahikua Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bi Ana Makinda. See lessShow More




















